Amosi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+ Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:6 w04 11/15 17-18 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:6 Mnara wa Mlinzi,11/15/2004, kur. 17-18
6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+