Amosi 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa utakatifu wake,+ ‘ “Tazama! Kuna siku zinazokuja juu yenu, naye atawainua ninyi kwa kulabu za mchinjaji na sehemu yenu ya mwisho kwa ndoano.+
2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa utakatifu wake,+ ‘ “Tazama! Kuna siku zinazokuja juu yenu, naye atawainua ninyi kwa kulabu za mchinjaji na sehemu yenu ya mwisho kwa ndoano.+