Amosi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Yehova akaniambia: “Unaona nini, Amosi?” Basi nikasema: “Timazi.” Yehova akaendelea kusema: “Tazama, naweka timazi katikati ya watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+ Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:8 jd 84-85 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:8 Siku ya Yehova, kur. 84-85 Mnara wa Mlinzi,4/1/1989, uku. 23
8 Ndipo Yehova akaniambia: “Unaona nini, Amosi?” Basi nikasema: “Timazi.” Yehova akaendelea kusema: “Tazama, naweka timazi katikati ya watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+