Obadia 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ikiwa wezi ndio wangekuja kwako, ikiwa waporaji wangekuja wakati wa usiku, ungenyamazishwa kwa kadiri gani?+ Je, hawangeiba kadiri wanavyotaka? Au ikiwa wakusanya-zabibu ndio wangekuja kwako, je, hawangeacha masalio fulani?+ Obadia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 mstari 5 w07 11/1 13 Obadia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5 Mnara wa Mlinzi,11/1/2007, uku. 13
5 “Ikiwa wezi ndio wangekuja kwako, ikiwa waporaji wangekuja wakati wa usiku, ungenyamazishwa kwa kadiri gani?+ Je, hawangeiba kadiri wanavyotaka? Au ikiwa wakusanya-zabibu ndio wangekuja kwako, je, hawangeacha masalio fulani?+