Obadia 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao. Obadia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 mstari 12 jd 112-113 Obadia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12 Siku ya Yehova, kur. 112-113
12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.