Mika 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Siku hiyo mtu atapaaza neno la kimethali+ kuwahusu ninyi naye ataomboleza, ndiyo, maombolezo.+ Mtu atasema: “Hakika tumeporwa!+ Anabadili fungu la watu wangu.+ Jinsi anavyoliondoa kwangu! Anawagawia wasio waaminifu mashamba yetu wenyewe.” Mika Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:4 w03 8/15 12 Mika Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:4 Mnara wa Mlinzi,8/15/2003, uku. 12
4 Siku hiyo mtu atapaaza neno la kimethali+ kuwahusu ninyi naye ataomboleza, ndiyo, maombolezo.+ Mtu atasema: “Hakika tumeporwa!+ Anabadili fungu la watu wangu.+ Jinsi anavyoliondoa kwangu! Anawagawia wasio waaminifu mashamba yetu wenyewe.”