Mika 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mikono yao iko juu ya lililo baya, ili kulifanya vema;+ mkuu anaomba kitu, naye mwenye kuhukumu hufanya hivyo ili kupata thawabu,+ na mkubwa anasema tamaa iliyo katika nafsi yake mwenyewe;+ nao huisokota. Mika Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:3 jd 78; w03 8/15 20 Mika Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:3 Siku ya Yehova, uku. 77 Mnara wa Mlinzi,8/15/2003, uku. 20
3 Mikono yao iko juu ya lililo baya, ili kulifanya vema;+ mkuu anaomba kitu, naye mwenye kuhukumu hufanya hivyo ili kupata thawabu,+ na mkubwa anasema tamaa iliyo katika nafsi yake mwenyewe;+ nao huisokota.