Sefania 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Niliyakatilia mbali mataifa; minara yao ya pembeni ilifanywa ukiwa. Niliziharibu barabara zao, hivi kwamba hakuna yeyote aliyekuwa akipita kati. Majiji yao yalifanywa ukiwa, hivi kwamba hakukuwa na mtu yeyote wala mkaaji yeyote.+ Sefania Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:6 w01 2/15 22 Sefania Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:6 Mnara wa Mlinzi,2/15/2001, uku. 22
6 “Niliyakatilia mbali mataifa; minara yao ya pembeni ilifanywa ukiwa. Niliziharibu barabara zao, hivi kwamba hakuna yeyote aliyekuwa akipita kati. Majiji yao yalifanywa ukiwa, hivi kwamba hakukuwa na mtu yeyote wala mkaaji yeyote.+