Zekaria 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha malaika+ wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova akukemee,+ Ee Shetani, ndiyo, Yehova akukemee, yeye ambaye analichagua Yerusalemu!+ Je, huyu si kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni?”+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:2 Mnara wa Mlinzi,9/1/1988, uku. 11
2 Kisha malaika+ wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova akukemee,+ Ee Shetani, ndiyo, Yehova akukemee, yeye ambaye analichagua Yerusalemu!+ Je, huyu si kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni?”+