Zekaria 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi akaniuliza: “Unaona nini?”+ Nami nikasema: “Naona kitabu cha kukunjwa kinachoruka, urefu wake ni mikono 20, na upana wake ni mikono 10.” Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:2 Mnara wa Mlinzi (Funzo),10/2017, uku. 22
2 Basi akaniuliza: “Unaona nini?”+ Nami nikasema: “Naona kitabu cha kukunjwa kinachoruka, urefu wake ni mikono 20, na upana wake ni mikono 10.”