Zekaria 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe nikasema: “Sitaendelea kuwachunga ninyi.+ Yule anayekufa, na afe. Na yule anayefutiliwa mbali, na afutiliwe mbali.+ Na wale waliobaki, kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.”+
9 Mwishowe nikasema: “Sitaendelea kuwachunga ninyi.+ Yule anayekufa, na afe. Na yule anayefutiliwa mbali, na afutiliwe mbali.+ Na wale waliobaki, kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.”+