-
Luka 16:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Ndipo akasema, ‘Kwa kweli, hapana, baba Abrahamu, lakini mtu fulani kutoka kwa wafu akiwaendea watatubu.’
-
-
Luka 16:30Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
30 Ndipo yeye akasema, ‘La, hasha, baba Abrahamu, lakini mtu fulani kutoka kwa wafu akiwaendea watatubu.’
-