Maelezo ya Chini
c Kwa kizibiti cha kuonyesha kwamba mafundisho na mazoea haya hayakujulikana na Wakristo wa kwanza, ona Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc., chini ya habari “Mwandamano wa Kimitume,” “Ubatizo,” “Ungamo,” “Msalaba,” “Ajali,” “Sanamu,” “Mifano ya Kuabudiwa,” “Mariamu,” “Misa,” “Kutokuwamo,” na “Watakatifu.”