Maelezo ya Chini
b Iwapo utakuwa jeruhi wa ugonjwa utokanao na chakula, pata pumziko jingi, na unywe vinywaji kama vile maji ya matunda, supu, soda-maji. Dalili zikitokea za kuathiriwa kwa neva ama homa, kisunzi, kutapika, choo chenye damu, ama maumivu makali yakiendelea ama ukiwa katika kikundi cha waliohatarishwa zaidi, huenda ikawa afadhali kumwona daktari.