Maelezo ya Chini
b Biblia haiungi mkono itikadi katika nafsi isiyoweza kufa au roho iokokayo kifo. (Ona Mwanzo 2:7; Ezekieli 18:4, 20.) Kwa habari zaidi, ona kitabu Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kurasa 52-56, 75, na faharisi yacho chini ya kichwa “Nafsi isiyoweza kufa, imani katika.” Kitabu hiki kimetangazwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.