Maelezo ya Chini
a Uchunguzi fulani hudokeza kwamba kasoro za kujifunza huenda zikawa na sehemu ya tabia ya urithi au kwamba visababishi vya kimazingira, kama vile kusumishwa na madini ya risasi au dawa au alkoholi wakati wa ujauzito, huenda vikachangia. Hata hivyo, kisababishi au visababishi hususa havijulikani.