Maelezo ya Chini
b Kwa muda fulani, Wakristo Wayahudi wa karne ya kwanza huko Yerusalemu walifuata mambo fulani-fulani ya Sheria ya Kimusa, yamkini kwa sababu zifuatazo. Sheria ilitoka kwa Yehova. (Waroma 7:12, 14) Tayari ilikuwa desturi ya Wayahudi. (Matendo 21:20) Ilikuwa sheria ya taifa, na hivyo kuipinga kungeleta upinzani usio wa lazima kwa ujumbe wa Kikristo.