Maelezo ya Chini
e Katika tumizi kama hilo la neno “mbingu,” unabii wa “mbingu mpya” katika Isaya 65:17, 18 ulikuwa na utimizo wao wa kwanza katika ule mfumo mpya wa kiserikali, uliohusu Gavana Zerubabeli na Kuhani Mkuu Yeshua, uliosimamishwa katika Bara la Ahadi baada ya Waisraeli kurudi kutoka uhamisho wa Kibabuloni.—2 Nyakati 36:23; Ezra 5:1, 2; Isaya 44:28.