Maelezo ya Chini
f Mtume Paulo alirejezea Yesu kuwa ‘Adamu wa pili,’ ambaye kifo chake kilileta kufunikwa kwa dhambi iliyorithiwa kutoka Adamu. (1 Wakorintho 15:45-47; Warumi 5:12, 15-19) Kwa habari zaidi juu ya kwa nini mpango kama huo ulihitajiwa, ona sehemu ya “Ni Nini Kusudi la Mungu kwa Ainabinadamu?,” mafungu , na na kielezi-chini.