Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

k 310 U.S. 586 (1940). Walter Gobitas (mwendelezo sahihi), aliyekuwa baba, pamoja na watoto wake William na Lillian, walikuwa wameenda mahakamani ili kuzuia baraza la shule lisiwakataze watoto hao wawili kuhudhuria shule ya umma ya Minersville kwa sababu watoto hao hawangeisalimu bendera ya taifa. Mahakama ya wilaya ya taifa na mahakama ya mzunguko ya rufani pia ziliamua kwa kuwapendelea Mashahidi wa Yehova. Kisha baraza la shule likakata rufani ya kesi hiyo kwa Mahakama Kuu Zaidi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki