Maelezo ya Chini
b Ingawa huenda malaika huyohuyo aliyekuwa akiongea na Danieli akawa aligusa midomo yake na kumwamsha, maneno yanayotumiwa hapa yaweza kumaanisha pia kwamba malaika mwingine, huenda Gabrieli, ndiye aliyemgusa. Hata hivyo, Danieli alitiwa nguvu na malaika mjumbe.