Maelezo ya Chini
c Andiko la Isaya 30:25b lasema: “Katika siku ya machinjo makuu itakapoanguka minara.” Katika utimizo wa mwanzoni, huenda maneno hayo yarejezea kuanguka kwa Babiloni, uliofungua njia kwa Israeli kufurahia baraka zilizotabiriwa kwenye Isaya 30:18-26. (Ona fungu la 19.) Huenda yakarejezea pia uharibifu kwenye Har–Magedoni, utakaofanya iwezekane kuwe na utimizo mtukufu zaidi wa baraka hizo katika ulimwengu mpya.