Maelezo ya Chini
b Kwa kumwomba Abrahamu afanye hivyo, Yehova alitangulia kuonyesha dhabihu ambayo yeye mwenyewe angeandaa kwa kumtoa Mwana wake mzaliwa-pekee. (Yohana 3:16) Katika kisa cha Abrahamu, Yehova aliingilia kati na kuandaa kondoo-dume ambaye angetolewa badala ya Isaka.—Mwanzo 22:1, 2, 9-13.