Maelezo ya Chini
a Kuhusu tarehe, sisi tunakubali ile orodha-tarehe inayopatikana katika Biblia, ambayo nyakati fulani inatofautiana na tarehe za kale zinazotegemea vyanzo vya kilimwengu ambavyo havitegemeki sana kama hiyo ya Biblia. Kwa zungumzo refu juu ya orodha-tarehe ya Biblia, ona kitabu Aid to Bible Understanding, kurasa 322-48.