Maelezo ya Chini
a Profesa Russell anataarifu katika kitabu chake The Devil—Perceptions of Evil From Antiquity to Primitive Christianity: “Uhakika wa kwamba Ibilisi anakuwa hajaonyeshwa kwa ukamili kabisa katika Agano la Kale si msingi wa kukataa kuwako kwake katika theolojia ya ki-siku-hizi ya Kiyahudi na Kikristo. Kuukataa kungekuwa ni kuwa na wazo lile lenye makosa ambalo limekuwapo tangu zamani—wazo la kwamba ukweli wa neno—au dhana fulani—unapatikana katika namna yalo iliyo ya mapema zaidi. Badala ya hivyo, ukweli wa kihistoria unaonekana wakati jambo linapoendelea-endelea kufanyika kwa kadiri muda unavyopita.”—Ukurasa 174.