Maelezo ya Chini
b Unaweza kupata zungumzo refu zaidi juu ya mafufuo katika nyakati za Biblia na ahadi ya Biblia juu ya ufufuo unaokuja wakati wa utawala wa Kristo katika Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani. Sura ya 20 ina kichwa “Ufufuo—wa Nani, na Wapi?” Kitabu hiki kinapatikana kutoka kwa Mashahidi wa Yehova katika eneo lenu au kutoka ofisi zilizoorodheshwa katika ukurasa wa 2 wa gazeti hili.