Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Kurudishwa kwa ibada safi kulikotokea katika mwaka wa 1919 kunafafanuliwa pia katika Ezekieli 37:​1-14 na Ufunuo 11:​7-12. Ezekieli alitabiri kuhusu kurudishwa kwa hali nzuri ya kiroho kwa Wakristo wote watiwa-mafuta baada ya kipindi kirefu cha kuwa utekwani. Unabii katika kitabu cha Ufunuo unarejelea kuzaliwa upya kiroho kwa kikundi kidogo cha ndugu watiwa-mafuta ambao wameongoza mambo baada ya kipindi kifupi cha kulazimishwa kuwa katika hali ya kutotenda kwa sababu ya kufungwa gerezani isivyo haki. Katika mwaka wa 1919, waliwekwa rasmi kuwa “mtumwa mwaminifu na mwenye busara.”—Mt. 24:45; tazama Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!, uku. 118.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki