Maelezo ya Chini
c Mapenzi ya Mungu ni kwamba wenzi wa ndoa waishi pamoja muda wote wa maisha yao. Anaruhusu watalikiane na kuweza kuoa au kuolewa tena ikiwa mmoja wao amefanya uasherati. (Mathayo 19:9) Ikiwa unakabili matatizo katika ndoa yako, Biblia inaweza kukusaidia kuyatatua kwa njia ya upendo na yenye hekima.