Maelezo ya Chini
a Kitabu The Rise of Christianity cha E. W. Barnes kinasema hivi: “Uchunguzi wa makini wa habari yote inayopatikana unaonyesha kwamba hadi wakati wa Marcus Aurelius [maliki wa Roma kuanzia 161 W.K. hadi 180 W.K.], hakuna Mkristo aliyekuwa mwanajeshi; na hakuna mwanajeshi, baada ya kuwa Mkristo, aliyeendelea na utumishi wa kijeshi.”