Maelezo ya Chini a Katika makala hii, neno “mahangaiko” halirejelei tatizo kubwa la afya bali linarejelea mikazo na wasiwasi wa kila siku ambao watu hukabiliana nao. Wale ambao wanapambana na tatizo la afya wanaweza kuamua kutafuta msaada wa daktari.—Luka 5:31.