Maelezo ya Chini
b Kuhusu Yeremia 29:11, The Expositor’s Bible Commentary inasema: “Ni vigumu kupata ahadi yenye kupendeza kama hii popote katika Maandiko inayoonyesha huruma za Yahweh [Yehova] kuwaelekea mateka hao na hatimaye kuwapa sababu ya kuwa na tumaini.”—Buku la 7, ukurasa wa 360.