Maelezo ya Chini
b Msomi Jason David BeDuhn anasema kwamba kukosekana kwa kibainishi wazi hufanya mitajo miwili ya neno “Mungu” “kuwa sawa na tofauti iliyopo katika neno ‘mungu’ na ‘Mungu’ katika lugha ya Kiingereza.” Anaongezea hivi: “Katika Yohana 1:1, Neno si Mungu yule wa pekee, bali ni mungu, au mwenye uwezo wa kimungu.”—Kitabu Truth in Translation: Accuracy and Bias in English Translations of the New Testament, ukurasa wa 115, 122, na 123.