Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • I4 Barabara ya Mfalme

  • Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • Walizunguka kandokando ya eneo la kati la Edomu na kupanda juu kupitia “barabara ya mfalme,” au Barabara Kuu ya Mfalme. (Hes 21:22; Kum 2:1-8) Haikuwa rahisi kwa taifa zima lenye watoto, wanyama, na mahema kupitia njia hiyo. Iliwabidi kuteremka kwa kufuata njia iliyojipinda-pinda na kupanda tena makorongo yenye miinuko mikali, yaani, Zeredi na Arnoni (yenye kina cha meta 520 hivi).—Kum 2:13, 14, 24.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki