Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Linda Moyo Wako”
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Mei 15
    • Kwa kufaa, Solomoni atushauri: “Kinywa cha ukaidi ukitenge nawe, na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe.

  • “Linda Moyo Wako”
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Mei 15
    • Mithali 4:24-27.

      Kwa kuzingatia ushauri wa Solomoni, twahitaji kuchunguza usemi wetu na matendo yetu. Ni lazima tuepuke usemi uliopotoka na wa ujanja ili kulinda moyo wetu na kumfurahisha Mungu. (Mithali 3:32) Hivyo, twapaswa kutafakari kwa sala kuhusu yale yanayodhihirishwa na usemi wetu na matendo yetu. Basi na tutafute msaada wa Yehova ili kurekebisha udhaifu wowote tunaoona.—Zaburi 139:23, 24.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki