-
Sala ya TobaUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Sasa wakiwa mateka Babiloni, Wayahudi wanalia kwa sauti kubwa kwa sababu ya kukosa tumaini: “Laiti ungepasua mbingu, na kushuka, ili milima iteteme mbele zako;
-
-
Sala ya TobaUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kweli Yehova ana uwezo wa kuokoa. Hakika yeye angaliweza kushuka awapiganie watu wake, ararue-rarue mifumo ya serikali zilizo kama mbingu na kuvunja-vunja milki zilizo kama milima.
-