Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sala ya Toba
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Wewe wamlaki yeye afurahiaye yaliyo haki na kuyatenda, watu wale wakukumbukao katika njia zako.” (Isaya 64:4, 5a)

  • Sala ya Toba
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Yeye huchukua hatua kuwalinda wale wanaotenda uadilifu na wale wanaomkumbuka. (Isaya 30:18) Je, Wayahudi wametenda hivyo? Sivyo. Isaya anamwambia Yehova hivi: “Tazama, ulikuwa na hasira, nasi tulitenda dhambi; tumekuwa katika mambo haya muda mwingi; nasi, je! tutaokolewa?” (Isaya 64:5b) Kwa sababu watu wa Mungu wamekuwa wakizidi tu kufanya dhambi kwa muda mrefu, hakuna msingi wa kumfanya Yehova asitesite kuleta ghadhabu yake ya haki na kuwaletea wokovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki