Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mafundisho Kuhusu Kukosa Uaminifu
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Msimamizi-nyumba mwingine aliteuliwa—“msimamizi-nyumba mwaminifu, mwenye busara”—na kuwekwa rasmi juu ya nyumba ya Yesu duniani. (1 Petro 4:17; Luka 12:42-44)

  • Mafundisho Kuhusu Kukosa Uaminifu
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 22. (a) Kwa nini kuchukuliwa kwa mahali pa Shebna akiwa msimamizi-nyumba kulikuwa kwa wakati unaofaa? (b) Katika nyakati za kisasa, kwa nini kuwekwa rasmi kwa “msimamizi-nyumba mwaminifu, mwenye busara,” kulikuwa kwa wakati unaofaa?

      22 Eliakimu alichukua mahali pa Shebna wakati ambapo Senakeribu na majeshi yake walikuwa wakitisha Yerusalemu. Vivyo hivyo, “msimamizi-nyumba mwaminifu, mwenye busara,” amewekwa rasmi kutumikia wakati wa mwisho, ambao utafikia kikomo Shetani na majeshi yake wajapo kushambulia mara ya mwisho “Israeli wa Mungu” na waandamani wao wa kondoo wengine. (Wagalatia 6:16)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki