Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mafundisho Kuhusu Kukosa Uaminifu
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Nao wataangika juu yake utukufu wote wa nyumba ya baba yake; wazao wake na watoto wao, kila chombo kidogo tangu vyombo vya vikombe hata vyombo vya makopo vyote pia.

  • Mafundisho Kuhusu Kukosa Uaminifu
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Eliakimu atakuwa tegemeo lenye kudumu kwa vyombo vya nyumbani, yaani, kwa wengine walio katika utumishi wa mfalme. (2 Timotheo 2:20, 21)

  • Mafundisho Kuhusu Kukosa Uaminifu
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Msimamizi-nyumba mwingine aliteuliwa—“msimamizi-nyumba mwaminifu, mwenye busara”—na kuwekwa rasmi juu ya nyumba ya Yesu duniani. (1 Petro 4:17; Luka 12:42-44) Jamii hiyo yenye washiriki wengi imejithibitisha yenyewe kuwa yastahili kubeba “ufunguo” wa kifalme wa nyumba ya Daudi. Sawa na “msumari” unaotumainika, imethibitika kuwa muungaji mkono anayetegemeka kwa ajili ya “vyombo” vyote mbalimbali, Wakristo watiwa-mafuta walio na wajibu mbalimbali wanaoitegemea iwaruzuku kiroho. “Kondoo wengine” pia, kama ‘mgeni aliye katika malango’ ya Yerusalemu la kale, huutegemea “msumari” huo, Eliakimu wa leo.—Yohana 10:16; Kumbukumbu la Torati 5:14.

      22. (a) Kwa nini kuchukuliwa kwa mahali pa Shebna akiwa msimamizi-nyumba kulikuwa kwa wakati unaofaa? (b) Katika nyakati za kisasa, kwa nini kuwekwa rasmi kwa “msimamizi-nyumba mwaminifu, mwenye busara,” kulikuwa kwa wakati unaofaa?

      22 Eliakimu alichukua mahali pa Shebna wakati ambapo Senakeribu na majeshi yake walikuwa wakitisha Yerusalemu. Vivyo hivyo, “msimamizi-nyumba mwaminifu, mwenye busara,” amewekwa rasmi kutumikia wakati wa mwisho, ambao utafikia kikomo Shetani na majeshi yake wajapo kushambulia mara ya mwisho “Israeli wa Mungu” na waandamani wao wa kondoo wengine. (Wagalatia 6:16) Kama ilivyokuwa katika siku ya Hezekia, shambulio hilo litaishia kwenye kuharibiwa kwa adui za uadilifu. Wale wanaoegemea kwenye “msumari mahali palipo imara,” msimamizi-nyumba mwaminifu, wataokoka, kama vile tu wakazi waaminifu wa Yerusalemu walivyookoka uvamizi wa Ashuru dhidi ya Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki