Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Aharibu Kiburi cha Tiro
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 16, 17. Ni nini kitakachowapata wakazi wa Tiro jiji hilo liangukapo? (Ona kielezi-chini.)

      16 Isaya aendelea na hukumu ya Yehova juu ya Tiro: “Pita katika nchi yako, kama [Mto] Nile, Ee binti wa Tarshishi, hapana tena mshipi wa kukuzuia.

  • Yehova Aharibu Kiburi cha Tiro
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 23:10

  • Yehova Aharibu Kiburi cha Tiro
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 17 Kwa nini Tiro laitwa “binti wa Tarshishi”? Labda kwa sababu baada ya kushindwa kwa Tiro, Tarshishi litaendelea kuwa na nguvu zaidi kati ya majiji hayo mawili.c Wakazi wa Tiro lililoharibiwa watatawanyika kama mto uliofurika, kingo zake zimevunjika na maji yake yakifurika kuingia kwenye nyanda zote jirani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki