-
Isaya Atabiri ‘Tendo la Ajabu’ la YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Maana meza zote zimejaa matapiko na uchafu, hapana mahali palipo safi.” (Isaya 28:7, 8)
-
-
Isaya Atabiri ‘Tendo la Ajabu’ la YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Katika hali yao ya ulevi wa kiroho, viongozi hao wa kidini waropoka usemi wenye kuchukiza na mchafu, unaoonyesha ukosefu mbaya wa imani ya kweli katika ahadi za Mungu.
-