Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Watu wao waliouawa watatupwa nje, na uvundo wa maiti zao utapaa juu, na milima itayeyushwa kwa damu yao.”—Isaya 34:2, 3.

  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Sheria ya Yehova imeweka kiwango: “Utatoza uhai kwa uhai.” (Kutoka 21:23-25; Mwanzo 9:4-6) Kupatana na sheria hiyo, yeye atasababisha damu ya mataifa imwagike—hadi wafe. Hewa itajaa uvundo wa maiti zao ambazo hazikuzikwa—kifo cha aibu kwelikweli! (Yeremia 25:33) Itakuwa kana kwamba milima inayeyuka kwa sababu ya wingi wa damu inayodaiwa. (Sefania 1:17) Majeshi yao yatakapoharibiwa kabisa, mataifa ya kilimwengu yataona kuanguka kwa serikali zao, ambazo nyakati nyingine hufananishwa na milima katika unabii wa Biblia.—Danieli 2:35, 44, 45; Ufunuo 17:9.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki