Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Paradiso Yarudishwa!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 21. Kuhusiana na kutaniko la Kikristo la karne ya kwanza, ni matukio gani yawezayo kuonwa kuwa utimizo wa mambo fulani ya unabii wa Isaya?

      21 Akiandikia washiriki wa Israeli la kiroho, mtume Paulo alirejezea maneno ya Isaya 35:3, akisema: “Inyoosheni mikono ining’iniayo na magoti yaliyodhoofishwa.” (Waebrania 12:12) Basi, yaonekana kwamba maneno ya Isaya sura ya 35 yalitimizwa katika karne ya kwanza W.K.

  • Paradiso Yarudishwa!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Jambo la maana zaidi ni kwamba wenye mioyo minyofu waliponyoka kutoka dini isiyo ya kweli nao wakaanza kufurahia paradiso ya kiroho katika kutaniko la Kikristo. (Isaya 52:11; 2 Wakorintho 6:17) Kama ilivyokuwa kwa Wayahudi waliokuwa wakirudi kutoka Babiloni, hao walioponyoka walitambua uhitaji wa roho nzuri na yenye ujasiri.—Waroma 12:11.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki