-
Mungu wa Kweli Anatabiri UkomboziUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
4. Yehova anamtiaje moyo Israeli?
4 Sura ya 44 inaanza kwa mwelekeo mzuri ikiwa na kikumbusha cha kwamba Israeli amechaguliwa na Mungu, akatenganishwa na mataifa yanayomzunguka ili awe mtumishi wake. Unabii huo unasema hivi: “Lakini sikia sasa, Ee Yakobo, mtumishi wangu; na Israeli, niliyekuchagua;
-