Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mungu wa Kweli Anatabiri Ukombozi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Mwito wa Ushindani kwa Miungu

      7, 8. Yehova anaitoleaje miungu ya mataifa mwito wa ushindani?

      7 Chini ya Sheria ya Kimusa, mkombozi—kwa kawaida mwanamume aliye jamaa wa karibu—angeweza kumnunua mtu wake kutoka utumwani. (Mambo ya Walawi 25:47-54; Ruthu 2:20) Sasa Yehova anajitambulisha kuwa Mkombozi wa Israeli—ambaye atalikomboa taifa, hata Babiloni na miungu yake yote ione aibu. (Yeremia 50:34) Yehova anaikabili miungu ya uwongo na waabudu wake, akisema: “BWANA, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako, BWANA wa majeshi, asema hivi; Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu.

  • Mungu wa Kweli Anatabiri Ukombozi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 44:6

  • Mungu wa Kweli Anatabiri Ukombozi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Anayeweza kufanya hivyo ni yule tu ‘wa kwanza na wa mwisho,’ aliyekuwako kabla ya miungu yote ya uwongo kuwaziwa, na ambaye bado atakuwako muda mrefu baada ya miungu hiyo kutokomea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki