Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 10. Ni sababu gani muhimu kupita zote inayofanya Yehova amtumie Koreshi kuikomesha Serikali Kubwa ya Ulimwengu ya Babiloni?

      10 Kuna sababu ya tatu, iliyo ya maana zaidi, inayofanya Yehova amtumie Koreshi kupindua Babiloni. Yehova anasema hivi: “Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hapana Mungu; nitakufunga mshipi ijapokuwa hukunijua;

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 45:5,

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Naam, kuanguka kwa Serikali Kubwa ya Ulimwengu ya Babiloni kunaonyesha Uungu wa Yehova, na kuthibitishia watu wote kwamba yeye pekee ndiye anayestahili ibada.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki