Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 14, 15. Maneno “Mtakatifu” na “Muumba” yanafunua nini juu ya Yehova?

      14 Isaya anatoa jibu la Yehova kwa hao wenye kukataa: “BWANA, Mtakatifu wa Israeli, na Muumba wake, asema hivi; Niulize habari za mambo yatakayokuja; mambo ya wana wangu, na habari ya kazi ya mikono yangu; haya! niagizeni.

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 45:11

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 15 Yehova anapojitaja kuwa “Mtakatifu,” anakazia utakato wake. Kumwita “Muumba” kunatia mkazo kwamba yeye ndiye Muumba aliye na haki ya kuamua jinsi mambo yatakavyokuwa. Yehova anaweza kuwaarifu wana wa Israeli mambo yatakayokuja na kuutunza ufundi wa mikono yake, yaani, watu wake.

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Ingawa bado Koreshi hajaja, ni hakika kwamba atakuja sawa na vile ilivyo hakika kwamba kuna mbingu na dunia. Basi, ni mwana yupi wa Israeli angethubutu kumchambua Baba, “BWANA wa majeshi”?

      16. Kwa nini watumishi wa Yehova wanapaswa kujitiisha chini yake?

      16 Mistari hii hii ya Isaya ina sababu nyingine ya kuwafanya watumishi wa Mungu wajitiishe kwake. Maamuzi yake ni ya kunufaisha watumishi wake daima. (Ayubu 36:3) Alitunga sheria za kuwasaidia watu wake wajinufaishe. (Isaya 48:17) Wayahudi wa siku za Koreshi wanaoikubali enzi kuu ya Yehova wanauona ukweli huo. Koreshi anatenda kupatana na haki ya Yehova na kuwaagiza watoke Babiloni wakalijenge hekalu upya. (Ezra 6:3-5) Vivyo hivyo leo, baraka hupatikana na wale wanaotumia sheria za Mungu katika maisha yao ya kila siku na kujinyenyekeza chini ya enzi kuu yake.—Zaburi 1:1-3; 19:7; 119:105; Yohana 8:31, 32.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki