Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwisho Wenye Kutazamisha wa Dini ya Uwongo Waonekana Kimbele
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 19 Lakini Yehova anamdhihaki, akisema: “Umechoka kwa wingi wa mashauri yako [“washauri wako,” “NW”]; basi, na wasimame hao wajuao falaki [“waabudu wa mbingu,” “NW”], wazitazamao nyota, watabirio kila mwezi mambo ya mwezi huo, wakakuokoe na mambo yatakayokupata.” (Isaya 47:13)e Babiloni ataona wazi washauri wake wakishindwa vibaya sana. Ni kweli kwamba uchunguzi mwingi wa nyota utakuwa umefanywa kwa muda wa karne nyingi ili kusitawisha unajimu wa Babiloni. Lakini katika ule usiku wa anguko lake, wanajimu wake watakuwa hoi, ionekane wazi kwamba uaguzi ni kitu cha bure.—Danieli 5:7, 8.

  • Mwisho Wenye Kutazamisha wa Dini ya Uwongo Waonekana Kimbele
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • e Wengine wanafasiri usemi wa Kiebrania uliotafsiriwa “waabudu wa mbingu” kuwa “wagawanyaji wa mbingu.” Usemi huo ungerejezea lile zoea la kuzigawanya mbingu sehemu sehemu ili kupiga falaki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki