-
Mwisho Wenye Kutazamisha wa Dini ya Uwongo Waonekana KimbeleUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
20. Washauri wa Babiloni watapatwa na msiba gani?
20 Yehova anamalizia sehemu hii ya unabii kwa kusema hivi: “Tazama, watakuwa kama mabua makavu; moto utawateketeza; hawatajiokoa na nguvu za mwali wa moto; hautakuwa kaa la kukota moto, wala moto wa kukaa karibu nao.
-
-
Mwisho Wenye Kutazamisha wa Dini ya Uwongo Waonekana KimbeleUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Naam, hivi karibuni washauri hao waongo wataona mambo motomoto. Moto wenyewe si moto mtamu wa kuotwa na watu, bali utakuwa moto wa uharibifu na uteketezaji, utakaowafichua washauri hao waongo kuwa mabua ovyo.
-