-
Faraja kwa Watu wa MunguUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
12. Kwa nini watumishi wa Mungu hawapaswi kuogopa wanapoharibiwa jina na wapinzani wa kibinadamu?
12 Sasa Yehova anaongea na watu wale ‘wanaofuatia uadilifu,’ akisema hivi: “Nisikilizeni, ninyi mjuao haki, watu ambao mioyoni mwenu mna sheria yangu; msiogope matukano ya watu, wala msifadhaike kwa sababu ya dhihaka zao.
-
-
Faraja kwa Watu wa MunguUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wale wanaomtumainia Yehova wataharibiwa jina na kusutwa kwa sababu ya msimamo wao wa ushujaa, lakini hilo si jambo la kuogopwa.
-
-
Faraja kwa Watu wa MunguUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kama vile Wayahudi waaminifu wa kale, Wakristo wa kweli leo hawana sababu ya kuwaogopa wapinzani wowote. Yehova, Mungu wa milele, ndiye wokovu wao. (Zaburi 37:1, 2) Suto kutoka kwa adui za Mungu ni ushuhuda wa kwamba watu wa Yehova wana roho yake.—Mathayo 5:11, 12; 10:24-31.
-