Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Faraja kwa Watu wa Mungu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Si wewe uliyeikausha bahari, na maji ya vilindi vikuu; uliyevifanya vilindi kuwa njia, ili wapite watu waliokombolewa?”—Isaya 51:9, 10.

      14 Mifano hiyo ya kihistoria inayotajwa na Isaya imechaguliwa vizuri sana. Kila Mwisraeli anajua taifa hilo lilikombolewa kutoka Misri kisha likavuka Bahari Nyekundu. (Kutoka 12:24-27; 14:26-31)

  • Faraja kwa Watu wa Mungu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Naam, Yehova alizionyesha nguvu za mkono wake katika shughuli zake na Misri. Sembuse yeye kuwa tayari kuwapigania watu wake waliopelekwa uhamishoni Babiloni!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki